Waziri wa Viwanda na Naibu Waziri wa Madini
Imewekwa: 29 Jan, 2023
Waziri wa Viwanda na Naibu Waziri wa Madini

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji januari 7, 2023 ametembelea Gereza la Chumvi Mtwara ambapo amejionea shughuli mbalimbali za uzalishaji wa chumvi katika Kiwanda hicho kinachomilikiwa na Shirika la Magereza, mkoani Mtwara.

 

Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo