Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba)
Imewekwa: 06 Jul, 2023
Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba)

KAMISHNA wa Polisi Zanzibar Khamis Hamad Adam, leo Julai 06, 2023 ametembelea Banda la Magereza

katika Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yaliyoanza Juni 28, 2023 ambapo amepata

fursa ya kuangalia bidhaa mbalimbali zilizopo Ndani ya Banda letu.

Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo